Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, wanaume wawili vipofu+ wakamfuata, wakipaaza sauti na kusema: “Uturehemu,+ Mwana wa Daudi.”

  • Mathayo 15:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na, tazama! mwanamke Mfoinike+ kutoka katika maeneo hayo akatoka na kupaaza sauti kubwa, akisema: “Uwe na rehema juu yangu,+ Bwana, Mwana wa Daudi. Binti yangu anasumbuliwa sana na roho mwovu.”

  • Marko 10:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Aliposikia kwamba ni Yesu Mnazareti, akaanza kupaaza sauti na kusema: “Mwana wa Daudi,+ Yesu, unirehemu!”+

  • Luka 18:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Ndipo akapaaza sauti, akisema: “Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki