Mathayo 9:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, wanaume wawili vipofu+ wakamfuata, wakipaaza sauti na kusema: “Uturehemu,+ Mwana wa Daudi.” Mathayo 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na, tazama! mwanamke Mfoinike+ kutoka katika maeneo hayo akatoka na kupaaza sauti kubwa, akisema: “Uwe na rehema juu yangu,+ Bwana, Mwana wa Daudi. Binti yangu anasumbuliwa sana na roho mwovu.” Marko 10:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Aliposikia kwamba ni Yesu Mnazareti, akaanza kupaaza sauti na kusema: “Mwana wa Daudi,+ Yesu, unirehemu!”+ Luka 18:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ndipo akapaaza sauti, akisema: “Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu!”+
27 Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, wanaume wawili vipofu+ wakamfuata, wakipaaza sauti na kusema: “Uturehemu,+ Mwana wa Daudi.”
22 Na, tazama! mwanamke Mfoinike+ kutoka katika maeneo hayo akatoka na kupaaza sauti kubwa, akisema: “Uwe na rehema juu yangu,+ Bwana, Mwana wa Daudi. Binti yangu anasumbuliwa sana na roho mwovu.”
47 Aliposikia kwamba ni Yesu Mnazareti, akaanza kupaaza sauti na kusema: “Mwana wa Daudi,+ Yesu, unirehemu!”+