11 Naye akaingia Yerusalemu, katika hekalu; naye akatazama vitu vyote huku na huku, na, kwa kuwa saa ilikuwa tayari imesonga, akatoka kwenda Bethania pamoja na wale kumi na wawili.+
37 Kwa hiyo wakati wa mchana alikuwa akifundisha katika hekalu,+ lakini wakati wa usiku alikuwa akitoka kwenda na kukaa juu ya mlima unaoitwa Mlima wa Mizeituni.+