40 “Ameyapofusha macho yao naye ameifanya mioyo yao iwe migumu,+ ili wasione kwa macho yao na kulielewa wazo kwa mioyo yao na kugeuka nami niwaponye.”+
25 Kwa maana sitaki ninyi, akina ndugu, mkose kuijua siri hii takatifu,+ kusudi msiwe wenye busara machoni penu wenyewe: kwamba, kwa sehemu, kumekuwa na kutiwa uzito kwa hisi+ za Israeli mpaka hesabu+ kamili ya watu wa mataifa iwe imeingia,+