Mathayo 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo akamwambia mtu huyo: “Nyoosha mkono wako.” Naye akaunyoosha, nao ukarudishwa kuwa mzima kama ule mkono mwingine.+ Luka 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na baada ya kutazama huku na huku kuwaelekea wote, akamwambia mtu huyo: “Nyoosha mkono wako.” Akaunyoosha, na mkono wake ukapona.+
13 Ndipo akamwambia mtu huyo: “Nyoosha mkono wako.” Naye akaunyoosha, nao ukarudishwa kuwa mzima kama ule mkono mwingine.+
10 Na baada ya kutazama huku na huku kuwaelekea wote, akamwambia mtu huyo: “Nyoosha mkono wako.” Akaunyoosha, na mkono wake ukapona.+