Mathayo 12:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Au yeyote anawezaje kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kukamata mali zake zinazoweza kuchukuliwa, asipomfunga kwanza mtu huyo mwenye nguvu? Na ndipo atakapoipora nyumba yake.+
29 Au yeyote anawezaje kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kukamata mali zake zinazoweza kuchukuliwa, asipomfunga kwanza mtu huyo mwenye nguvu? Na ndipo atakapoipora nyumba yake.+