27 Kwa kweli, hakuna yeyote ambaye ameingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu anayeweza kupora+ mali zake zinazoweza kuchukuliwa asipomfunga kwanza mtu huyo mwenye nguvu, na ndipo ataipora nyumba yake.+
22 Lakini mtu fulani mwenye nguvu+ zaidi yake anapokuja juu yake na kumshinda,+ yeye huchukua silaha zake zote alizokuwa akitegemea, naye hugawanya vitu ambavyo yeye alimpora.
4 Ninyi mnatokana na Mungu, watoto wadogo, nanyi mmewashinda watu hao,+ kwa sababu yeye aliye katika muungano+ na ninyi ni mkuu+ kuliko yeye aliye katika muungano na ulimwengu.+