9 Kwa maana sisi ni watumishi;+ na katika utumishi wetu Mungu hakutuacha,+ bali hutupa sisi fadhili zenye upendo mbele ya wafalme wa Uajemi,+ kutuamsha ili tuisimamishe nyumba ya Mungu+ wetu na kurudisha mahali pake palipofanywa ukiwa+ na kutupa sisi ukuta wa mawe+ katika Yuda na katika Yerusalemu.
37 na mazao yake yamejaa+ kwa ajili ya wafalme+ ambao umeweka juu yetu kwa sababu ya dhambi zetu,+ nao wanatawala juu ya miili yetu na juu ya wanyama wetu wa kufugwa, kulingana na mapenzi yao, nasi tumo katika taabu kubwa.+