29 Au yeyote anawezaje kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kukamata mali zake zinazoweza kuchukuliwa, asipomfunga kwanza mtu huyo mwenye nguvu? Na ndipo atakapoipora nyumba yake.+
27 Kwa kweli, hakuna yeyote ambaye ameingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu anayeweza kupora+ mali zake zinazoweza kuchukuliwa asipomfunga kwanza mtu huyo mwenye nguvu, na ndipo ataipora nyumba yake.+