Mwanzo 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mungu akaendelea kusema: “Dunia na itoe majani, mimea inayozaa mbegu,+ miti ya matunda inayozaa matunda kulingana na aina zake,+ ambayo mbegu yake imo ndani yake,+ juu ya nchi.” Ikawa hivyo. Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+
11 Mungu akaendelea kusema: “Dunia na itoe majani, mimea inayozaa mbegu,+ miti ya matunda inayozaa matunda kulingana na aina zake,+ ambayo mbegu yake imo ndani yake,+ juu ya nchi.” Ikawa hivyo.