Zaburi 104:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Juu yake hukaa viumbe vinavyoruka vya mbinguni;+Kutoka katikati ya majani mengi yanaendelea kuvuma.+ Ezekieli 31:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Viumbe vyote vinavyoruka vya mbinguni vilifanya viota+ vyao kwenye matawi yake, na wanyama wote wa mwituni walizaa chini ya matawi yake,+ na mataifa yote yenye hesabu kubwa ya watu yalikuwa yakikaa katika kivuli chake.
12 Juu yake hukaa viumbe vinavyoruka vya mbinguni;+Kutoka katikati ya majani mengi yanaendelea kuvuma.+
6 Viumbe vyote vinavyoruka vya mbinguni vilifanya viota+ vyao kwenye matawi yake, na wanyama wote wa mwituni walizaa chini ya matawi yake,+ na mataifa yote yenye hesabu kubwa ya watu yalikuwa yakikaa katika kivuli chake.