24 Sasa, tazama! msukosuko mkubwa ukatokea katika bahari, hivi kwamba mashua ilikuwa ikifunikwa na mawimbi; hata hivyo, yeye alikuwa amelala usingizi.+
23 Lakini walipokuwa wakisafiri akalala usingizi. Sasa dhoruba ya upepo wenye nguvu nyingi ikashuka juu ya ziwa, nao wakaanza kujawa na maji na kuwa hatarini.+