Mathayo 8:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nao wakaja na kumwamsha,+ wakisema: “Bwana, tuokoe, tuko karibu kuangamia!” Luka 8:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mwishowe wakamwendea, wakamwamsha, wakisema: “Mwalimu, Mwalimu, tuko karibu kuangamia!”+ Akaamka, akaukemea+ upepo na mchafuko wa maji, navyo vikatulia, kukawa na utulivu.
24 Mwishowe wakamwendea, wakamwamsha, wakisema: “Mwalimu, Mwalimu, tuko karibu kuangamia!”+ Akaamka, akaukemea+ upepo na mchafuko wa maji, navyo vikatulia, kukawa na utulivu.