-
Luka 8:24Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
24 Mwishowe wakamwendea wakamwamsha, wakisema: “Mfunzi, Mfunzi, tuko karibu kuangamia!” Akijiamsha mwenyewe, akaukemea upepo na mchafuko wa maji, navyo vikatulia, kukawa shwari.
-