Luka 8:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi wakaenda kumwamsha na kusema: “Mwalimu, Mwalimu, tuko karibu kuangamia!” Ndipo akasimama, akaukemea upepo na mawimbi ya maji, nayo dhoruba ikatulia, kukawa shwari.+ Luka 8:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mwishowe wakamwendea, wakamwamsha, wakisema: “Mwalimu, Mwalimu, tuko karibu kuangamia!”+ Akaamka, akaukemea+ upepo na mchafuko wa maji, navyo vikatulia, kukawa na utulivu. Luka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:24 Yesu—Njia, uku. 113
24 Basi wakaenda kumwamsha na kusema: “Mwalimu, Mwalimu, tuko karibu kuangamia!” Ndipo akasimama, akaukemea upepo na mawimbi ya maji, nayo dhoruba ikatulia, kukawa shwari.+
24 Mwishowe wakamwendea, wakamwamsha, wakisema: “Mwalimu, Mwalimu, tuko karibu kuangamia!”+ Akaamka, akaukemea+ upepo na mchafuko wa maji, navyo vikatulia, kukawa na utulivu.