Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nitatoa wapi nyama ya kuwapa watu wote hawa? Kwa maana wananililia daima, na kusema, ‘Tupe nyama, tule!’

  • 2 Wafalme 4:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Hata hivyo, mtu wake mwenye kumhudumia akasema: “Nitawekaje hiki mbele ya watu mia moja?”+ Naye akasema: “Wape watu ili wale, kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Kitaliwa na kutakuwa na masalio.’”+

  • Mathayo 15:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Hata hivyo, wanafunzi wakamwambia: “Katika mahali hapa pasipo na watu tutapata wapi mikate ya kutosha kuushibisha umati huu mkubwa?”+

  • Yohana 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Filipo akamjibu: “Mikate yenye thamani ya dinari mia mbili haiwatoshi, hata kwamba kila mmoja aweze kupata kidogo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki