Mathayo 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo akaugusa mkono+ wake, na homa ikamwacha, naye akasimama na kuanza kumhudumia.+ Luka 4:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kwa hiyo akasimama kando yake akaikemea homa hiyo,+ nayo ikamwacha. Akasimama mara moja akaanza kuwahudumia.+
39 Kwa hiyo akasimama kando yake akaikemea homa hiyo,+ nayo ikamwacha. Akasimama mara moja akaanza kuwahudumia.+