Marko 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Naye akamwendea akamwinua, akamshika mkono; na homa ikamwacha,+ naye akaanza kuwahudumia.+ Luka 4:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Baada ya kutoka katika sinagogi akaingia katika nyumba ya Simoni. Basi mama-mkwe wa Simoni alikuwa akitaabishwa na homa kali, nao wakamwomba Yesu kwa ajili yake.+ Luka 4:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kwa hiyo akasimama kando yake akaikemea homa hiyo,+ nayo ikamwacha. Akasimama mara moja akaanza kuwahudumia.+
38 Baada ya kutoka katika sinagogi akaingia katika nyumba ya Simoni. Basi mama-mkwe wa Simoni alikuwa akitaabishwa na homa kali, nao wakamwomba Yesu kwa ajili yake.+
39 Kwa hiyo akasimama kando yake akaikemea homa hiyo,+ nayo ikamwacha. Akasimama mara moja akaanza kuwahudumia.+