Mathayo 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo akaugusa mkono+ wake, na homa ikamwacha, naye akasimama na kuanza kumhudumia.+ Marko 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Naye akamwendea akamwinua, akamshika mkono; na homa ikamwacha,+ naye akaanza kuwahudumia.+