Malaki 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Tazama! Nawatumia ninyi nabii Eliya+ kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+ Marko 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wakamwambia: “Yohana Mbatizaji,+ na wengine, Eliya,+ na wengine bado, Mmoja wa manabii.”+
5 “Tazama! Nawatumia ninyi nabii Eliya+ kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+