Isaya 40:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sikilizeni! Mtu fulani anaita nyikani:+ “Fungueni njia ya Yehova!+ Nyoosheni njia kuu kwa ajili ya Mungu wetu katika nchi tambarare ya jangwani.+ Mathayo 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 nanyi mkitaka kukubali hili, Yeye mwenyewe ndiye ‘Eliya ambaye anakusudiwa kuja.’+ Marko 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wakaanza kumuuliza, wakisema: “Kwa nini waandishi husema kwamba lazima Eliya+ aje kwanza?”+
3 Sikilizeni! Mtu fulani anaita nyikani:+ “Fungueni njia ya Yehova!+ Nyoosheni njia kuu kwa ajili ya Mungu wetu katika nchi tambarare ya jangwani.+