Malaki 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Tazama! Nawatumia ninyi nabii Eliya+ kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+ Mathayo 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata hivyo, wanafunzi wakamuuliza swali hili: “Basi, kwa nini waandishi husema kwamba lazima Eliya aje kwanza?”+ Mathayo 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi kwamba tayari Eliya amekuja nao hawakumtambua bali walimtendea mambo waliyotaka. Katika njia hiyo pia Mwana wa binadamu atateseka mikononi mwao.”+
5 “Tazama! Nawatumia ninyi nabii Eliya+ kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+
10 Hata hivyo, wanafunzi wakamuuliza swali hili: “Basi, kwa nini waandishi husema kwamba lazima Eliya aje kwanza?”+
12 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi kwamba tayari Eliya amekuja nao hawakumtambua bali walimtendea mambo waliyotaka. Katika njia hiyo pia Mwana wa binadamu atateseka mikononi mwao.”+