17 Yesu akajibu, akasema: “Enyi kizazi kisicho na imani na kilichopotoka,+ nitaendelea kuwa pamoja nanyi mpaka wakati gani? Nitawavumilia ninyi mpaka wakati gani? Mleteni hapa.”
41 Yesu akajibu akasema: “Enyi kizazi kisicho na imani na kilichopotoka,+ nitaendelea kuwa pamoja nanyi na kuwavumilia ninyi mpaka wakati gani? Mlete hapa mwana wako.”+