17 Yesu akajibu, akasema: “Enyi kizazi kisicho na imani na kilichopotoka,+ nitaendelea kuwa pamoja nanyi mpaka wakati gani? Nitawavumilia ninyi mpaka wakati gani? Mleteni hapa.”
19 Akajibu akawaambia: “Enyi kizazi kisicho na imani,+ nitaendelea kuwa pamoja nanyi mpaka wakati gani? Nitawavumilia ninyi mpaka wakati gani? Mleteni hapa.”+