Malaki 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana yeye amechukia talaka,”+ Yehova, Mungu wa Israeli, amesema; “na yule ambaye amefunika vazi lake kwa jeuri,”+ Yehova wa majeshi amesema. “Nanyi mjilinde roho yenu, nanyi msitende kwa hila.+ Mathayo 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na Mafarisayo wakamjia, wakikusudia kumjaribu na kusema: “Je, ni halali mwanamume kumtaliki mke wake kwa kila sababu?”+
16 Kwa maana yeye amechukia talaka,”+ Yehova, Mungu wa Israeli, amesema; “na yule ambaye amefunika vazi lake kwa jeuri,”+ Yehova wa majeshi amesema. “Nanyi mjilinde roho yenu, nanyi msitende kwa hila.+
3 Na Mafarisayo wakamjia, wakikusudia kumjaribu na kusema: “Je, ni halali mwanamume kumtaliki mke wake kwa kila sababu?”+