Kutoka 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Usiue.+ Kumbukumbu la Torati 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Usiue.+ Mathayo 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Ninyi mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiue;+ lakini yeyote yule anayeua+ atatoa hesabu mahakamani.’+ 1 Yohana 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kila mtu anayemchukia+ ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji+ aliye na uzima wa milele ukikaa ndani yake.+
21 “Ninyi mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiue;+ lakini yeyote yule anayeua+ atatoa hesabu mahakamani.’+
15 Kila mtu anayemchukia+ ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji+ aliye na uzima wa milele ukikaa ndani yake.+