Luka 17:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na watu watawaambia ninyi, ‘Oneni pale!’ au, ‘Oneni hapa!’+ Msitoke kwenda wala msiwafuatilie mbio.+ Luka 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Akasema: “Jihadharini msipotoshwe;+ kwa maana wengi watakuja kwa msingi wa jina langu, wakisema, ‘Mimi ndiye,’ na, ‘Wakati unaofaa umekaribia.’+ Msiwafuate.
23 Na watu watawaambia ninyi, ‘Oneni pale!’ au, ‘Oneni hapa!’+ Msitoke kwenda wala msiwafuatilie mbio.+
8 Akasema: “Jihadharini msipotoshwe;+ kwa maana wengi watakuja kwa msingi wa jina langu, wakisema, ‘Mimi ndiye,’ na, ‘Wakati unaofaa umekaribia.’+ Msiwafuate.