Mathayo 24:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Ndipo mtu yeyote akiwaambia, ‘Tazameni! Kristo huyu hapa,’+ au, ‘Pale!’ msiamini.+ Marko 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Ndipo, pia, mtu yeyote akiwaambia, ‘Tazameni! Kristo huyu hapa,’ ‘Tazameni! ndiye yule pale,’+ msiamini.+ Luka 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Akasema: “Jihadharini msipotoshwe;+ kwa maana wengi watakuja kwa msingi wa jina langu, wakisema, ‘Mimi ndiye,’ na, ‘Wakati unaofaa umekaribia.’+ Msiwafuate.
21 “Ndipo, pia, mtu yeyote akiwaambia, ‘Tazameni! Kristo huyu hapa,’ ‘Tazameni! ndiye yule pale,’+ msiamini.+
8 Akasema: “Jihadharini msipotoshwe;+ kwa maana wengi watakuja kwa msingi wa jina langu, wakisema, ‘Mimi ndiye,’ na, ‘Wakati unaofaa umekaribia.’+ Msiwafuate.