Mathayo 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Akijua jambo hilo,+ Yesu akawaambia: “Kwa nini mnataka kumsumbua mwanamke huyu? Kwa kuwa amenitendea tendo jema.+ Yohana 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo Yesu akasema: “Mwacheni, ili ashike mwadhimisho huu kwa kufikiria siku ya maziko yangu.+
10 Akijua jambo hilo,+ Yesu akawaambia: “Kwa nini mnataka kumsumbua mwanamke huyu? Kwa kuwa amenitendea tendo jema.+