Mathayo 26:71 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 71 Alipokuwa amekwisha kutoka na kwenda kwenye chumba kilicho langoni, msichana mwingine alimwona na kuwaambia wale waliokuwa hapo: “Mtu huyu alikuwa pamoja na Yesu Mnazareti.”+ Luka 22:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Na baada ya muda mfupi mtu mwingine akamwona akasema: “Wewe pia ni mmoja wao.” Lakini Petro akasema: “Wee mtu, si mimi.”+ Yohana 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama akiota moto. Ndipo wakamwambia: “Wewe pia ni mmoja wa wanafunzi wake, sivyo?” Akakana na kusema: “Hapana.”+
71 Alipokuwa amekwisha kutoka na kwenda kwenye chumba kilicho langoni, msichana mwingine alimwona na kuwaambia wale waliokuwa hapo: “Mtu huyu alikuwa pamoja na Yesu Mnazareti.”+
58 Na baada ya muda mfupi mtu mwingine akamwona akasema: “Wewe pia ni mmoja wao.” Lakini Petro akasema: “Wee mtu, si mimi.”+
25 Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama akiota moto. Ndipo wakamwambia: “Wewe pia ni mmoja wa wanafunzi wake, sivyo?” Akakana na kusema: “Hapana.”+