Mathayo 26:71 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 71 Alipokuwa amekwisha kutoka na kwenda kwenye chumba kilicho langoni, msichana mwingine alimwona na kuwaambia wale waliokuwa hapo: “Mtu huyu alikuwa pamoja na Yesu Mnazareti.”+ Marko 14:69 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 69 Huko yule kijakazi, alipomwona, akaanza tena kuwaambia wale waliosimama kando: “Huyu ni mmoja wao.”+ Yohana 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama akiota moto. Ndipo wakamwambia: “Wewe pia ni mmoja wa wanafunzi wake, sivyo?” Akakana na kusema: “Hapana.”+
71 Alipokuwa amekwisha kutoka na kwenda kwenye chumba kilicho langoni, msichana mwingine alimwona na kuwaambia wale waliokuwa hapo: “Mtu huyu alikuwa pamoja na Yesu Mnazareti.”+
69 Huko yule kijakazi, alipomwona, akaanza tena kuwaambia wale waliosimama kando: “Huyu ni mmoja wao.”+
25 Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama akiota moto. Ndipo wakamwambia: “Wewe pia ni mmoja wa wanafunzi wake, sivyo?” Akakana na kusema: “Hapana.”+