16 Kwa maana wewe ni Baba yetu,+ ingawa huenda iwe Abrahamu mwenyewe hakutujua na huenda iwe Israeli mwenyewe asitutambue, wewe, Ee Yehova, ni Baba yetu. Mkombozi wetu wa zamani za kale ni jina lako.+
11 Lakini ninawaambia ninyi kwamba wengi kutoka sehemu za mashariki na sehemu za magharibi+ watakuja na kuketi kwenye meza pamoja na Abrahamu na Isaka na Yakobo katika ufalme+ wa mbinguni;+