Mathayo 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini umati ukasisitiza kuwaambia wakae kimya; na bado wakapaaza sauti kubwa hata zaidi, wakisema: “Bwana, uturehemu, Mwana wa Daudi!”+ Marko 10:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Ndipo wengi wakaanza kumwambia kwa ukali anyamaze; lakini akazidi kupaaza sana sauti: “Mwana wa Daudi, unirehemu!”+
31 Lakini umati ukasisitiza kuwaambia wakae kimya; na bado wakapaaza sauti kubwa hata zaidi, wakisema: “Bwana, uturehemu, Mwana wa Daudi!”+
48 Ndipo wengi wakaanza kumwambia kwa ukali anyamaze; lakini akazidi kupaaza sana sauti: “Mwana wa Daudi, unirehemu!”+