Mathayo 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini umati ukasisitiza kuwaambia wakae kimya; na bado wakapaaza sauti kubwa hata zaidi, wakisema: “Bwana, uturehemu, Mwana wa Daudi!”+ Luka 18:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Na wale waliokuwa mbele wakaanza kumwambia kwa kusisitiza anyamaze, lakini ndivyo naye alivyozidi kupaaza sauti: “Mwana wa Daudi, unirehemu.”+
31 Lakini umati ukasisitiza kuwaambia wakae kimya; na bado wakapaaza sauti kubwa hata zaidi, wakisema: “Bwana, uturehemu, Mwana wa Daudi!”+
39 Na wale waliokuwa mbele wakaanza kumwambia kwa kusisitiza anyamaze, lakini ndivyo naye alivyozidi kupaaza sauti: “Mwana wa Daudi, unirehemu.”+