Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Na mtu akiiba ng’ombe-dume au kondoo na kumchinja au kumuuza, atalipa watano kutoka katika mifugo kwa ajili ya ng’ombe-dume huyo na wanne kutoka katika kundi kwa ajili ya kondoo huyo.+

  • Mambo ya Walawi 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 au kitu chochote ambacho huenda akaapa juu yake kwa uwongo, naye atatoa malipo+ kwa ajili yake kwa kiwango chake kamili, naye ataongezea juu yake sehemu yake ya tano. Siku ambayo hatia yake itahakikishwa atampa mwenyewe kitu hicho.

  • 2 Samweli 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na kuhusu yule mwana-kondoo jike, atamlipa+ mara nne,+ kwa sababu yeye amefanya jambo hili na kwa sababu hakuwa na huruma.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki