21 Bwana wake akamwambia, ‘Vema, mtumwa mwema na mwaminifu!+ Ulikuwa mwaminifu+ juu ya mambo machache. Nitakuweka juu ya mambo mengi.+ Ingia katika shangwe+ ya bwana wako.’
10 Mtu aliye mwaminifu katika lililo dogo zaidi ni mwaminifu katika lililo kubwa pia, na mtu ambaye si mwaminifu katika lililo dogo zaidi si mwaminifu katika lililo kubwa pia.+