21 Bwana wake akamwambia, ‘Vema, mtumwa mwema na mwaminifu!+ Ulikuwa mwaminifu+ juu ya mambo machache. Nitakuweka juu ya mambo mengi.+ Ingia katika shangwe+ ya bwana wako.’
17 Kwa hiyo akamwambia, ‘Vema, mtumwa mwema! Kwa sababu katika jambo dogo sana umejionyesha mwenyewe kuwa mwaminifu, uwe na mamlaka juu ya majiji kumi.’+