Habakuki 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana jiwe litalia kwa huzuni kutoka ukutani, na boriti litalijibu kutoka kati ya mbao za paa.+ Mathayo 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 na msiseme moyoni mwenu, ‘Abrahamu ndiye baba yetu.’+ Kwa maana ninawaambia ninyi kwamba Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu+ watoto kutoka katika mawe haya.
11 Kwa maana jiwe litalia kwa huzuni kutoka ukutani, na boriti litalijibu kutoka kati ya mbao za paa.+
9 na msiseme moyoni mwenu, ‘Abrahamu ndiye baba yetu.’+ Kwa maana ninawaambia ninyi kwamba Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu+ watoto kutoka katika mawe haya.