Mathayo 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini hakufanya ngono naye+ mpaka alipozaa mwana;+ na Yosefu akamwita jina lake Yesu.+ Luka 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 kwa bikira aliyechumbiwa na mwanamume anayeitwa Yosefu wa nyumba ya Daudi; na jina la bikira+ huyo lilikuwa Maria.+
27 kwa bikira aliyechumbiwa na mwanamume anayeitwa Yosefu wa nyumba ya Daudi; na jina la bikira+ huyo lilikuwa Maria.+