Mwanzo 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+ Matendo 13:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Wale wa mataifa waliposikia jambo hilo, wakaanza kushangilia na kulitukuza neno la Yehova,+ na wale wote waliokuwa na mwelekeo unaofaa kwa ajili ya uzima wa milele wakawa waamini.+
3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+
48 Wale wa mataifa waliposikia jambo hilo, wakaanza kushangilia na kulitukuza neno la Yehova,+ na wale wote waliokuwa na mwelekeo unaofaa kwa ajili ya uzima wa milele wakawa waamini.+