Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 39:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Sasa Isaya akamwambia Hezekia:+ “Sikia neno la Yehova wa majeshi,

  • Isaya 66:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Sikieni neno la Yehova, ninyi mnaotetemeka kwa ajili ya neno lake:+ “Ndugu zenu wanaowachukia,+ ambao wanawatenga ninyi kwa sababu ya jina langu,+ walisema, ‘Yehova na atukuzwe!’+ Yeye pia atatokea pamoja na shangwe kwa ajili yenu,+ nao ndio watakaotiwa aibu.”+

  • Matendo 11:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi waliposikia mambo hayo, wakakubali kimyakimya,+ nao wakamtukuza Mungu,+ wakisema: “Kwa hiyo, basi, Mungu ameruhusu toba kwa kusudi la uzima kwa watu wa mataifa pia.”+

  • 2 Wathesalonike 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 ili jina la Bwana wetu Yesu litukuzwe ndani yenu,+ nanyi katika muungano+ na yeye, kupatana na fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu wetu na za Bwana Yesu Kristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki