-
Matendo 13:48Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
48 Wale wa mataifa waliposikia hilo, wakaanza kushangilia na kulitukuza neno la Yehova, na wote wale waliokuwa na mwelekeo ufaao kwa ajili ya uhai udumuo milele wakawa waamini.
-