Mathayo 22:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 kwa maana katika ufufuo wanaume hawaoi wala wanawake hawaolewi,+ bali wao ni kama malaika mbinguni. Marko 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana wanapofufuliwa kutoka kwa wafu, wanaume hawaoi wala wanawake hawaolewi, bali wao ni kama malaika wa mbinguni.+ Yohana 5:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 na kutoka, wale waliotenda mambo mema kwenye ufufuo wa uzima,+ wale waliokuwa na zoea la kutenda mambo maovu kwenye ufufuo wa hukumu.+
30 kwa maana katika ufufuo wanaume hawaoi wala wanawake hawaolewi,+ bali wao ni kama malaika mbinguni.
25 Kwa maana wanapofufuliwa kutoka kwa wafu, wanaume hawaoi wala wanawake hawaolewi, bali wao ni kama malaika wa mbinguni.+
29 na kutoka, wale waliotenda mambo mema kwenye ufufuo wa uzima,+ wale waliokuwa na zoea la kutenda mambo maovu kwenye ufufuo wa hukumu.+