Mathayo 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini Yesu akawaita, akasema: “Mnajua kwamba watawala wa mataifa hupiga ubwana juu yao na wakuu hutumia mamlaka juu yao.+ Marko 10:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Lakini Yesu, baada ya kuwaita, akawaambia: “Mnajua kwamba wale ambao huonekana kuwa wanatawala mataifa hupiga ubwana juu yao na wakuu wao hutumia mamlaka juu yao.+
25 Lakini Yesu akawaita, akasema: “Mnajua kwamba watawala wa mataifa hupiga ubwana juu yao na wakuu hutumia mamlaka juu yao.+
42 Lakini Yesu, baada ya kuwaita, akawaambia: “Mnajua kwamba wale ambao huonekana kuwa wanatawala mataifa hupiga ubwana juu yao na wakuu wao hutumia mamlaka juu yao.+