Mathayo 26:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mwishowe, baada ya kuimba sifa,+ wakatoka na kwenda kwenye Mlima wa Mizeituni.+ Marko 14:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mwishowe, baada ya kuimba sifa,+ wakatoka na kwenda kwenye Mlima wa Mizeituni.+ Yohana 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Akiisha kusema mambo hayo, Yesu akaenda pamoja na wanafunzi wake ng’ambo ya mto wa majira ya baridi kali wa Kidroni+ mpaka mahali palipokuwa na bustani, na yeye na wanafunzi wake wakaingia ndani yake.+
18 Akiisha kusema mambo hayo, Yesu akaenda pamoja na wanafunzi wake ng’ambo ya mto wa majira ya baridi kali wa Kidroni+ mpaka mahali palipokuwa na bustani, na yeye na wanafunzi wake wakaingia ndani yake.+