Mathayo 27:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ndipo akawafungulia Baraba, lakini akaagiza Yesu apigwe mijeledi+ na kumtoa ili atundikwe mtini.+ Yohana 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, wakati huo Pilato akamchukua Yesu na kumpiga mijeledi.+