Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yona 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Sasa Yehova akamweka samaki mkubwa ammeze Yona,+ naye Yona akawa katika tumbo la samaki huyo siku tatu mchana na usiku.+

  • Mathayo 16:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Tangu wakati huo na kuendelea Yesu Kristo akaanza kuwaonyesha wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu na kupatwa na mambo mengi kutoka kwa wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu afufuliwe.+

  • Marko 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Pia, akaanza kuwafundisha kwamba Mwana wa binadamu lazima apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi na kuuawa,+ na kufufuka siku tatu baadaye.+

  • Luka 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 lakini akasema: “Mwana wa binadamu lazima apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa,+ na siku ya tatu afufuliwe.”+

  • Matendo 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 akieleza na kuthibitisha kwa marejeo kwamba ilikuwa lazima Kristo ateseke+ na kufufuliwa kutoka kwa wafu,+ akisema: “Huyu ndiye Kristo,+ Yesu huyu ninayewatangazia ninyi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki