Mathayo 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Pia, alipoendelea mbele kutoka hapo akaona wengine wawili+ waliokuwa ndugu, Yakobo mwana wa Zebedayo+ na Yohana ndugu yake, katika mashua pamoja na Zebedayo baba yao, wakitengeneza nyavu zao, naye akawaita. Marko 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baada ya kusonga mbele kidogo akamwona Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana ndugu yake walipokuwa katika mashua yao wakitengeneza nyavu zao;+
21 Pia, alipoendelea mbele kutoka hapo akaona wengine wawili+ waliokuwa ndugu, Yakobo mwana wa Zebedayo+ na Yohana ndugu yake, katika mashua pamoja na Zebedayo baba yao, wakitengeneza nyavu zao, naye akawaita.
19 Baada ya kusonga mbele kidogo akamwona Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana ndugu yake walipokuwa katika mashua yao wakitengeneza nyavu zao;+