Luka 14:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na pindi fulani alipoingia ndani ya nyumba ya mtu fulani, mmoja kati ya watawala wa Mafarisayo katika siku ya sabato ili kula mlo,+ walikuwa wakimchunguza sana.+
14 Na pindi fulani alipoingia ndani ya nyumba ya mtu fulani, mmoja kati ya watawala wa Mafarisayo katika siku ya sabato ili kula mlo,+ walikuwa wakimchunguza sana.+