19 Yeyote anaposikia neno la ufalme lakini haelewi maana yake, yule mwovu+ huja na kunyakua kile ambacho kimepandwa moyoni mwake; huyo ndiye aliyepandwa kando ya barabara.
15 Basi, hawa ndio wale walio kando ya barabara ambapo lile neno limepandwa, lakini mara tu baada ya kulisikia Shetani huja+ na kuliondoa neno lililopandwa ndani yao.+
21 Maana, kwa kuwa katika hekima ya Mungu, ulimwengu kupitia hekima yake+ haukuja kumjua Mungu,+ Mungu aliona vema kupitia upumbavu+ wa linalohubiriwa awaokoe wale wanaoamini.