Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yeyote anaposikia neno la ufalme lakini haelewi maana yake, yule mwovu+ huja na kunyakua kile ambacho kimepandwa moyoni mwake; huyo ndiye aliyepandwa kando ya barabara.

  • Marko 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi, hawa ndio wale walio kando ya barabara ambapo lile neno limepandwa, lakini mara tu baada ya kulisikia Shetani huja+ na kuliondoa neno lililopandwa ndani yao.+

  • 1 Wakorintho 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Maana, kwa kuwa katika hekima ya Mungu, ulimwengu kupitia hekima yake+ haukuja kumjua Mungu,+ Mungu aliona vema kupitia upumbavu+ wa linalohubiriwa awaokoe wale wanaoamini.

  • 2 Wakorintho 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi, ikiwa kwa kweli habari njema tunayotangaza imefunikwa utaji, imefunikwa utaji katikati ya wale wanaoangamia,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki