Mathayo 10:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 lakini yeyote yule anayenikana mimi mbele ya watu, mimi pia nitamkana+ mbele za Baba yangu aliye mbinguni. Marko 8:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kwa maana mtu yeyote yule anayenionea aibu mimi na maneno yangu katika kizazi hiki chenye uzinzi na chenye dhambi, Mwana wa binadamu atamwonea aibu+ yeye pia atakapofika katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.”+ 2 Timotheo 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana,+ yeye pia atatukana sisi;
33 lakini yeyote yule anayenikana mimi mbele ya watu, mimi pia nitamkana+ mbele za Baba yangu aliye mbinguni.
38 Kwa maana mtu yeyote yule anayenionea aibu mimi na maneno yangu katika kizazi hiki chenye uzinzi na chenye dhambi, Mwana wa binadamu atamwonea aibu+ yeye pia atakapofika katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.”+
12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana,+ yeye pia atatukana sisi;